Jamhuri ya Kenya |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
Nchi zingine · Atlasi |
Eneo bunge la Kajiado Kaskazini ni jimbo la uchaguzi nchini Kenya, moja kati ya majimbo matano ya Kaunti ya Kajiado. Eneo lote la jimbo hili liko katika Baraza la Olkejuado county.
Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1966.